1 Bedroom Apartment for Rent in Kimara Bucha, Dar Es Salaam









Amenities
Description
βπΉπΏ #APARTMENT NZURI SANA YA KISASA #INAPANGISHWA KIMARA BUCHA
βββββββ
π Kimara Bucha
π Umbali wa 1km kutoka Stand ya Mwendo Kasi Bucha. Usafiri wa bodaboda ni Tsh 1,000 tu, au kwa miguu ni takribani dakika 15 hadi getini.
β#SIFA ZA NYUMBA
πΉ Chumba kimoja Master Bedroom
πΉ Sebule kubwa na ya kisasa
πΉ Hakuna jiko
πΉ Umeme na maji vina Sub Meter binafsi
πΉ Maji yanapatikana ndani masaa 24/7
πΉ Fenced Compound yenye Car Parking kubwa sana
πΉ Mazingira ni salama, tulivu na rafiki kwa makazi
π Nyumba hii inafaulishwa kuona ndani na kufanya malipo luksa Funguo zipo muda wote kwa ajili ya kuonyesha nyumba. Mteja akiridhika hufanya malipo na kuhamia mara moja.
π° GHARAMA
πΈ Kodi Tsh 200,000/= Γ 5 au (Unaingia kwa malipo ya miezi 6)
πΈ Malipo ya Dalali Tsh 200,000/=
πΈ Service Charge Tsh 20,000/=
π0688 067 289
β#Follow usπ
Karibu Sana Mtejaπ















