1 Bedroom Apartment for Rent in Kimara Bucha, Dar Es Salaam









Description
🇹🇿 APARTMENT YA KISASA NZURI SANA INAPANGISHWA – KIMARA BUCHA
📍 Kimara Bucha
🕒 umbali wa km 1 kutoka stand ya mwendo kasi Bucha; kwa mguu ni dakika 15 tu, usafiri wa bodaboda ni Tsh 1,000 hadi getini.
#SIFA ZA NYUMBA
🔹 Chumba kimoja (Master).
🔹 Sebule kubwa sana.
🔹 Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)
🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7.
🔹 Fenced & Parking kubwa sana.
GHARAMA
🔹 Kodi Tsh 220,000/= × 4 (Miezi minne )
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347















