1 Bedroom Apartment for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Description
π‘ APARTMENT MPYA YA KISASA INAPANGISHWA β KIMARA KOROGWE JIRAN NA LAMI
π° Kodi: TSh 500,000/= kwa mwezi
π Mahali: Kimara Korogwe
β¨ Mradi Mpya Kabisa!
Wa kwanza kulipa ndiye atakuwa wa kwanza kuhamia.
π
Mkataba utaanza tarehe 01/08/2026.
π Umbali: Meta 450 tu kutoka barabara kuu.
βοΈ A/C kwenye vyumba vyote, na Heater itawekwa.
π Huduma BURE:
Maji
Wi-Fi
Usafi
Ulinzi
Laundry Service
Vifaa na Sifa za Nyumba
β
Chumba kimoja cha Master (Self Contained)
β
Sebule ya kisasa
β
Jiko la kisasa lenye makabati (yatafungwa)
β
A/C kwenye vyumba vyote
β
Heater itawekwa
β
Ndani ya fensi
β
Maegesho ya magari
β
Mazingira mazuri na tulivu
β
Ulinzi wa uhakika
β
LUKU ya kujitegemea
β
Maji na umeme kutoka kwenye huduma kuu
Mawasiliano
π Simu: &whtssp O712528820 / 0685221354
Muhimu
π΅ kuonyesha nyumba: TSh 20,000 (hulipwa na mteja).
NB: Ada hii itaendelea kuwa halali hadi utakapopata nyumba unayoitaka.
πΌ Commission ya Dalali: Kodi ya mwezi mmoja (hulipwa na mpangaji).
Masharti ya Malipo
βοΈ Miezi 6 ya kodi
βοΈ















