1 Bedroom Apartment for Rent in Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika, Dar Es Salaam


Description
Apartment nzuri sana inapangishwa bei 350000 kwa mwezi kodi kuanzia meizi 6, sifa ya hii apartment ni chumba master, sebule, jiko lenye makabati, full ac & fan, umeme na maji unajitegemea, tank la maji la kwako pia lipo nami yanafloo ndani pia, kutoka kituoni dakika 00:00 hivi, hii apartment ipo maeneo ya tabata kinyerezi kibaga zabika dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Bila kusahau pesa ya dalali















