1 Bedroom Apartment for Sale in Tabata Baracuda, Dar Es Salaam (400 sqm)
Description
π’π₯ APARTMENTS ZINAUZWA β TABATA BARACUDA π₯π’
Fursa adimu ya uwekezaji wa uhakika! π°
π Dakika 2 tu kutoka kituo cha Mwamgongo
π Location nzuri na yenye uhitaji mkubwa wa wapangaji
πΉ Maelezo ya Apartments:
π Jumla ya Units: 14
ποΈ Kila moja: Master + Sebule + Jiko
π΅ Kodi ya sasa: 300,000/= kwa mwezi kila unit
π Uwezo wa kuongeza hadi 400,000/= kwa kuboresha (AC n.k.)
β‘οΈ Mapato ya sasa: 4,200,000/= kwa mwezi
β‘οΈ Mapato yanayowezekana: 5,600,000/= kwa mwezi
π Eneo: Sqm 400
π Hati ipo
π° Bei: Milioni 600 (maongezi kidogo yapo kwa mteja serious)
Huu ni uwekezaji wa muda mrefu na wa uhakika kwa wateja wanaojua biashara.
π₯ Karibu tufanye biashara!
π
#Tabata #ApartmentsInauzwa #UwekezajiWaUhakika #DalaliWakoWakishua #MilikiKeshoYakoLeo















