1 Bedroom Furnished House for Rent in Changanyikeni, Dar Es Salaam

Amenities
Description
*master bedroom na jiko nzuri sana ya kisasa*
*Kodi,maji,taka 350,000/= kwa mwezi*
*unalipia kuanzia miezi 3*
*Security deposit 100,000/= ( hii unarudishiwa siku utakayohama kama nyumba hautaharibu)*
*unajitegemea umeme ,hulipii maji*
*ipo ndani ya fence, parking na ni dk 4 uko chuo hata Raia ruksa kupanga*
*unakuta kitanda,godoro,kabati kama unakuja na vitu vyako vinatolewa au unachagua kimoja wapo*
location: Changanyikeni















