1 Bedroom House for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Description
๐ก CHUMBA KIKUU (MASTER), SEBULE NA JIKO VINAPANGISHWA
๐ฐ Kodi: TSh 300,000 kwa mwezi
๐ Mahali: Kimara Korogwe โ Barabara ya Maji Chumvi
Mazingira
โ
Eneo tulivu na lenye hewa safi
โ
Chumba kikuu kina kiyoyozi (A/C)
Sifa za Nyumba
โ Chumba 1 cha Master (Self Contained)
โ Sebule
โ Jiko la wazi (Open Kitchen)
โ Kiyoyozi (A/C) kwenye Master Bedroom
โ Uzio wa fensi
โ Maegesho ya magari
โ Mazingira mazuri na salama
โ Maji na umeme vina mita za kujitegemea
โ Maji na umeme vinatoka kwenye vyanzo vikuu
Mawasiliano
๐ Simu:
๐ฑ
0713661530_0783661530
Muhimu
๐ณ Service Charge: TSh 20,000 (hulipwa na mteja kwa ajili ya kuonyeshwa nyumba/vyumba). Malipo haya yataendelea kuwa halali hadi utakapopata nyumba inayokufaa.
๐ผ Dalali/Commission: Kodi ya mwezi mmoja (hulipwa na mpangaji).
Masharti ya Malipo
๐
Kodi ya miezi 6 kwa malipo ya awali.
0713661530_0783661530















