1 Bedroom House for Rent in Kimara Mwisho, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 180,000 per month

Type

House

Bedrooms

1

Bathrooms

1

Nearest Road

1km

Amenities

Kitchen
Electricity
Water Supply
Parking Space
Standalone Electric Meter
Near Bus Stand

Description

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ MASTER BED ROOM YA KISASA โ€“ KIMARA MWISHO

๐Ÿ“ Eneo: Kimara Mwisho
๐Ÿ•“ Umbali: Km 1 kutoka stendi ya mwendo kasi. Usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, au dakika 12 kwa miguu. Pia unaweza kupita kupitia Kimara Korogwe.

๐Ÿ  SIFA ZA NYUMBA:

๐Ÿ”น Chumba kimoja (Master Bedroom) kikubwa sana
๐Ÿ”น Jiko zuri na la kisasa
๐Ÿ”น Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)
๐Ÿ”น Maji yanapatikana masaa 24/7
๐Ÿ”น Fensi hamna & Parking kubwa na salama

๐Ÿ‘‰ Chumba kitakuwa wazi tarehe 10/03/2026. Unaweza kuja kuangalia ndani na kufanya malipo luksa kabisa. Booking inaruhusiwa hata kwa mwezi mmoja.

๐Ÿ’ฐ GHARAMA:
๐Ÿ”ธ Kodi: Tsh 180,000 ร— 6 (Miezi sita)

Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba

Mawasiliano 0656623510

WSP 0752436347