1 Bedroom House for Rent in Kinyerezi G7, Dar Es Salaam

Type
House
Bedrooms
1
Amenities
Description
0679 997610 kinyerezi G7 dk 5 kwa miguu chumba sebule jiko lenye makabati na choo ipo ndani ya fensi Mazingira mazuri sana inajitegemea umeme na maji yanaflow ndani kodi 300K X6 maji moto maji baridi survey charge 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba kwa mawasiliano piga simu 0679 997610















