1 Bedroom House for Rent in Makongo Changanyikeni, Dar Es Salaam

Amenities
Description
Master bedroom and kitchen
Kodi kwa mwezi 350,000/=
Anachukua miezi 3
Security deposit 100,000/= hii unarudishiwa siku utakapohama kama hujaharibu chochote ndani na nje ya nyumba
Hulipii maji na taka
Unajitegemea umeme pia Kuna CCTV camera
Parking ipo pia ni ndani ya fence
Kwenda kuona 20,000/=
Kwa kutembea ni dk 3 kutoka main road
Agent Commission 350,000/=
Location: Makongo Changanyikeni
Kwa maelekezo zaidi 0672616197















