1 Bedroom House for Rent in Mbagala Mbande, Dar Es Salaam

Type
House
Bedrooms
1
Bathrooms
1
Nearest Road
1m
Description
Chumba sebule master bedroom pamoja na jiko lake la ndani kwa ndani kinapangishwa bei 150 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala mbande kisewe location ungindoni. Chumba sebule master bedroom kina tiliz, madilisha vioo, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk, na fensi ya parking ipo pia. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika moja ivi kwa kutembea kwa miguu, yaan nyumba inaangalia barabarani kabisa. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.















