1 Bedroom House for Rent in Mbagala Mbande Kisewe, Dar Es Salaam

Description
Chumba sebule master bedroom pamoja na jiko lake la ndani kwa ndani kinapangishwa bei 150 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala mbande kisewe stendi, Chumba sebule master bedroom kina tiliz madilisha, jiko, mafeni juu panga boy yapo, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk, paving blocks chini zpo na fensi ya parking ipo pia. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika 5 ivi kwa kutembea kwa miguu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.















