1 Bedroom House for Rent in Mbezi Kibanda cha Mkaa, Dar Es Salaam









Mbezi, Dar Es Salaam
1 hour ago
Sh. 250,000/month
Description
CHUMBA MASTER | SEBULE NA JIKO (OPEN KITCHEN). KODI 250,000/= × 6
__
MBEZI KIBANDA CHA MKAA DAKIKA CHACHE TOKA LAMI
NYUMBA MPYAAA KABISAAAAA
MAJI NA UMEME MITA YAKO
PARKING
FENSI
kupelekwa kuona nyumba hii elfu 25
piga cm uctume sms utachelewa kujibiwa
ndugu mteja kua makini usilipie nyumba kiholela matapeli wamekua wengi cku izi
ukiona una wasi wasi omba ufanye malipo kwa mjumbe au selikali ya mtaa
DALALI MTU MUHIMU DALALI AESHIMIWE















