1 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 240,000

Type

House

Bedrooms

1

Description

🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖

📍 Eneo: Kimara Bucha
🕑 Umbali: Dakika 6 tu kwa kutembea kutoka stand ya mwendo kasi

🏠 #SIFAZAKE

🔹 Chumba kimoja kizuri
🔹 Sebule safi na ya kisasa
🔹 Choo cha ndani, kisafi
🔹 Umeme LUKU yake binafsi
🔹 Maji yanapatikana muda wote (yanaflow ndani)
🔹 Fenced compound yenye parking kubwa ya gari

💰 #GHARAMA

🔶 Kodi: Tsh 240,000/= × miezi 6
🔶 Malipo ya dalali: Tsh 240,000/=
🔶 Service charge: Tsh 15,000/=

#0625606710🏠wahiii