14 Bedrooms House for sale in Mtaa wa Magogo, Geita Mjini

Type
House
Bedrooms
14
Plot Size
4800 SQM
Nearest Road
200m
Amenities
Description
Fursa nzuri ya uwekezaji katika sekta ya malazi na huduma za wageni ndani ya Geita Mjini.
π¨ HOTEL INAUZWA β GEITA MJINI
π Mahali Ilipo Hotel ipo Mtaa wa Magogo, Geita Mjini, eneo lenye huduma muhimu na miundombinu bora.
Karibu na:
β
Barabara ya lami
β
Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Geita (mita 200 tu)
β
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa β Magogo
β
Ofisi ya Manispaa ya Geita
β
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita
π Ukubwa wa Eneo
Jumla ya eneo: Meta za mraba 4,800
Urefu: Meta 120
Upana: Meta 40
π§ Miundombinu iliyofika
β
Kisima kirefu chenye maji ya uhakika
β
Umeme
β
Barabara nzuri ya kufikika mwaka mzima
π’ Miundombinu ya Hotel
ποΈ Vyumba vya Wageni
6 Suite Rooms
Chumba cha kulala
Sebule
Bafu
Balcony
Dressing room
8 Deluxe Rooms
Chumba cha kulala
Bafu
Balcony
Dressing space
πΉ Bar & Bustani
Gazebo 5
Garden sitting area
VIP Lounge
π½οΈ Restaurant
π Maegesho ya Magari (Parking)
π₯ Ukumbi wa Mikutano (Conference Hall)
π° BeiTSh 580M
π Mawasiliano 0767241001
NB
DOCUMENT HATI


