2 Bedrooms Apartment for Rent in Madale Center, Dar Es Salaam
Amenities
Description
📞
🔥 APARTMENT YA KIFAHARI YA VYUMBA VIWILI INAPANGISHWA – MADALE CENTER! 🔥
Unatafuta nyumba mpya ya kisasa yenye muonekano wa kipekee na iliyopo hatua chache tu kutoka barabara ya lami? Hii hapa ndio yenyewe! 🔑✨
🏡 Sifa: Vyumba 2 vya kulala, Sebule kubwa ya kisasa, na Jiko zuri la kisasa!
📍 Eneo: Madale Center (Nyuma ya Lami kabisa, ufikaji ni mwepesi mno).
🏛️ Muonekano: Modern design ya ngazi na veranda, paving blocks nzuri uwanjani, na mazingira salama sana.
💰 Kodi: TZS 800,000/= tu kwa mwezi!
⚠️ Nyumba zenye ubora huu nyuma ya lami Madale zinawahiwa haraka mno! Usisubiri kesho! 🏃♂️💨
📞 Piga simu / WhatsApp sasa: kuisukumia au kuja kuikagua leo! 📲✨















