2 Bedrooms Apartment for Rent in Mbezi Mwisho, Dar Es Salaam









Description
๐ Fantastic Apartment for Rent at ๐ ๐๐๐ญ๐ ๐ ๐ช๐๐ฆ๐๐ข ๐ฅ๐ข๐จ๐ก๐ ๐๐๐ข๐จ๐ง ๐ฌ๐ ๐๐จ๐๐๐๐๐๐ ๐๐ข๐๐
Kodi ni 500,000 ร 6
Ni Appartment ya familia yenye sifa zifuatazo: ๐
>Vyumba (2) vya kulala, Sebule kubwa, jiko na public toilet(nje na ndani)
>AC kubwa sebleni
>AC ipo pia chumba cha MASTABEDROOM
>Jiko lenye makabati ya vyombo
>Choo cha pablic cha ndani na nje pia kipo
>Choo cha Masta ni cha kukaa
>Baraza nyuma na mbele ya nyumba
>Makabati ya nguo yapo vyumba vyake vyote
>Madirisha ni ya vioo + finishing ya kisasa kabisa!
>Inajitegemea LUKU yake
>Mita yake mwenyewe ya Dawasco
>Parking ya kupaki gari 4
>Garden na maua nje
>Ulinzi wa USIKU ni bure
>CCTV camera 24hrs
>USAFI wa Nje ni bure kila siku
>Uzoaji wa taka ni bure
>Panafikika kirahisi dakika 5 kutoka lami
KODI
ni TSH 500,000/= kwa mwezi . Tunapokea MIEZI (6)
Ipo wazi kuanzia leo
Service charge 20,000
Malipo ya Dalali ni mwezi mmoja
Contact:
0654101710
0787205300















