2 Bedrooms Apartment for Rent in Tabata Kinyerezi Mwisho, Dar Es Salaam


Description
Apartment nzuri sana inapangishwa bei 350000 kwa mwezi Kodi kuanzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo ni master bedroom, sebule, jiko, public toilet, reserve water tank, parking, usalama wa kutosha, hapa ndani ya fence kuna apartment 3 tu, kutoka kituoni ni dakika 5 hivi, Located tabata kinyerezi mwisho dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Bila kusahau pesa ya dalali mchina















