2 Bedrooms Apartment for Rent in Temeke β Tandika, Dar Es Salaam


Description
π‘β¨ APARTMENT MPYA YA KISASA INAPANGISHWA β¨π‘
π TEMEKE β TANDIKA
Imesimamiwa na MAKINI REAL ESTATE
Unatafuta makazi ya kisasa, salama na yenye huduma bora? Hii ndiyo fursa yako ya kuishi katika apartment mpya yenye mazingira mazuri na inayopatikana kwa urahisi.
π SIFA ZA APARTMENT
ποΈ Vyumba 2 vya kulala
π Chumba 1 Master
ποΈ Sebule ya kisasa
π½οΈ Jiko zuri na la kisasa
π» Choo cha wageni (Public Toilet)
βοΈ Full Air Conditioning (AC)
β¨οΈ Heater ya maji ya moto
π Parking ya kutosha
πΉ CCTV Camera kwa usalama wa saa 24
π Remote Gate
β‘ Electric Fence
β‘ Umeme wa LUKU (wa mpangaji)
π§ Maji ya kisima ya uhakika
π’ Apartments 4 tu ndani ya geti moja
π Eneo ni zuri na linafikika kwa urahisi, karibu kabisa na Barabara Kuu na Stendi za usafiri.
π° GHARAMA ZA UPANGISHAJI
π΅ Kodi: TZS 700,000 kwa mwezi
π
Malipo: Miezi 3 mbele
πΌ Malipo ya Dalali: Kodi ya mwezi mmoja.
π‘οΈ SERVICE CHARGE: TZS 100,000 kwa mwezi
Huduma zinazojumuishwa ni: β
Wi-Fi ya kasi β
Bili ya maji β
Ulinzi β
Uondoaji wa taka β
Usafi wa maeneo ya nje ya nyumba
π NB: Gharama ya kuangalia nyumba ni TZS 30,000.
π WASILIANA NASI LEO
MAKINI REAL ESTATE
π± (Simu & WhatsApp)
β¨ Usikose nafasi hii ya kuhamia kwenye apartment mpya yenye hadhi, usalama wa hali ya juu na mazingira bora. Wasiliana nasi sasa ili kupanga muda wa kuitembelea kabla haijapangishwa!















