2 Bedrooms Furnished House for Sale in Tegeta Wazo Msigani, Dar Es Salaam (600 sqm)









Wazo, Dar Es Salaam
6 hours ago
Sh. 260,000,000
Amenities
Description
Nyumba zinauzwa pamoja na vitu vyake zipo mbili kwenye fence kila nyumba ina vyumba Viwili vya kulala vyote ni master zipo Tegeta wazo msigani jirani na shule ya Nurunjema ukubwa wa kiwanja sqm 600 bei yake million 260 karibuni Sana Kwa mawasiliano tuwasiliane Kwa namba















