2 Bedrooms House for Rent in Goba Center, Dar Es Salaam

Amenities
Description
Nyumba ya Kupangishwa
π Goba Center - Karibu na Lami
Kodi ya Mwezi: TZS 600,000 tsh
Malipo ya Awali: Miezi 6
Eneo:
Goba Center
Vipengele vya Mali:
β’ Vyumba Viwili vya Kulala: (chumba kimoja cha master chenye bafu maalum)
β’ Sebule: Ndefu na pana
β’ Jikoni: Ya kisasa yenye kabati za ubora wa juu
β’ Maegesho: Nafasi ya kutosha ndani ya kiwanja
Huduma za Msingi:
β’ Maji: Bila malipo
β’ Umeme: Mita ya prepaid ya kujitegemea
Urahisi na Usafiri:
Meter 200 kutoka barabara kuu β Ufikiaji rahisi wa usafiri wa umma na huduma muhimu
Gharama za Huduma:
β’ Ada ya Kuangalia: TZS 20,000 (mara moja, inatumika hadi utakapopata nyumba)
β’ Ada ya Wakala: Thamani ya kodi ya mwezi mmoja (inatolewa tofauti)
Mawasiliano kwa Kuangalia na Taarifa Zaidi:
Piga simu/WhatsApp: 0782026715















