2 Bedrooms House for Rent in Goba Mnadani, Dar Es Salaam
Goba, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 800,000/month
Description
🏠 KWA KODI: GOBA MNADANI / SIMBA OIL
KODI: Tsh 800,000/= kwa mwezi
Nyumba mpya ya Vyumba 2 [1 Master]
- Chumba cha Master kina choo chake
- Choo cha Public kipo
- Jiko kubwa lenye makabati
- Sebule kubwa yenye AC na Feni
- Sakafu za tiles za kisasa
- AC zipo | Ceiling design nzuri
- Eneo la kutosha + Parking
- Nyumba nyeupe ya kisasa na salama
Nyumba safi tayari kwa kuishi.
Kwa maelezo na kuja kuona piga: 📞















