2 Bedrooms House for Rent in Kimara Orogwe, Dar Es Salaam

Type
House
Bedrooms
2
Amenities
Description
nyumba inapangishwa ipo #kimara _orogwe barabara ya zege nyumba ina 📌vyumba viwili vya kulala 📌kimoja master 📌Sebule 📌Jiko lenye makabati 📌Choo cha public ndani nyumba ni mpya ndani ya Fensi Parking ipo Mazingira Mazuri inajitegemea LUKU na Maji DAWASA yanaflow ndani #KODI 700.000 kwa mwezi Malipo ni miezi sita survey charge 20,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba 0679 997610















