2 Bedrooms House for Rent in Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam

Amenities
Description
π‘ NYUMBA YA VYUMBA VIWILI INAPANGISHWA β KINYEREZI KIBAGA π‘
Unatafuta nyumba nzuri, salama na yenye mazingira tulivu?
Hii hapa fursa nzuri maeneo ya Kinyerezi Kibaga, takribani dakika 5 kutoka kituoni β¨
β
Vyumba 2 vya kulala
ποΈ Chumba 1 ni Master
ποΈ Sebule nzuri
π³ Jiko lenye makabati
π» Choo cha public kwa wageni
π‘ Ndani ya fence
π¨βπ©βπ§βπ¦ Wapangaji ni wawili tu
π Paving ipo
π Usalama upo wa kutosha
π§ Maji na umeme vinajitegemea
π° Kodi: TSh 700,000/= kwa mwezi
π€ Udalali: Sawa na kodi ya mwezi mmoja
π§Ύ Service charge 20,000
06595O7709















