Search

2 Bedrooms House for Rent in Mbezi Beach, Dar Es Salaam

Mbezi, Dar Es Salaam
53 minutes ago
Sh. 600,000/month

Description

Nyumba hii ni
Kubwa ukubwa ni vyumba viwili kulala kimoja ni masta kubwa sana
Sebule ipo kubwa sana
Jiko lipo kubwa sana maji mita yako pekeyako
Luku yako pekeyako
Kwenye fensi zipo nyumba mbili tuu
Kodi sh laki 6 // πŸ‘ˆ
Ilipo njia ya mbezi bechi kituo ni mubuyuni
Umbali ni dakika 7 kwa miguu
#

dalali mengi afrikana

dalalimengi_africana

@dalalimengi_africana

View Listings

Similar properties in Mbezi, Dar Es Salaam

dalali mengi afrikana