Search

2 Bedrooms House for Rent in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 300,000/month

Description

šŸ šŸ”„ STAND ALONE INAPANGISHWA – TABATA SEGEREA šŸ”„šŸ 

Unatafuta nyumba nzuri, yenye nafasi na faragha kwa ajili yako na familia yako? Hii ni fursa nzuri sana! Nyumba ipo Tabata Segerea, kwenye mazingira mazuri na tulivu kwa makazi.

šŸ” STAND ALONE
šŸ›ļø Vyumba 2 vya kulala
⭐ Kimoja ni Master Bedroom
šŸ›‹ļø Sebule
šŸ³ Jiko
šŸ’° Bei: 300,000/= kwa mwezi
šŸ“ Location: Tabata Segerea

Nyumba inafaa kwa mtu au familia inayohitaji makazi yenye utulivu, nafasi na privacy. Usipoteze muda kama unatafuta nyumba ya bei nzuri katika eneo la Tabata.

šŸ“ž Kwa maelezo zaidi na kuiona nyumba, piga simu:

šŸ”„ NYUMBA NZURI – BEI RAFIKI – TABATA SEGEREA! šŸ”„

DALALI BEDA | NYUMBA TABATA

dalalibeda_tabata1

@dalalibeda_tabata1

View Listings

Similar properties in Segerea, Dar Es Salaam

DALALI BEDA | NYUMBA TABATA