2 Bedrooms House for Sale in Chanika Zingiziwa, Dar Es Salaam (400 sqm)

Amenities
Description
🏡 NYUMBA INAUZWA – CHANIKA ZINGIZIWA, ILALA DAR ES SALAAM 🔥
Bei: Milioni 24 tu
Hii ni nafasi nzuri kwa mwenye uhitaji wa nyumba ya kuishi au uwekezaji. Wahi mapema kabla haijachukuliwa na mwingine!
✨ SIFA ZA NYUMBA:
✅ Vyumba 2 vya kulala – vyote Master Bedroom
✅ Sitting Room
✅ Jiko
✅ Public Toilet
✅ Eneo kubwa SQM 400
✅ Huduma zote za kijamii zipo
✅ Mazingira mazuri na salama
📍 Location: Chanika Zingiziwa – Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam
📞 Kwa maelezo zaidi na kuangalia nyumba, piga simu sasa: 0683 665504















