2 Bedrooms House for Sale in Kifuru, Dar Es Salaam
Description
š” NYUMBA MPYA INAUZWA ā KIFURU š”
Je, unatafuta nyumba mpya ya familia katika eneo zuri na lenye miundombinu bora? Hii ni fursa yako!
š Eneo: Kifuru
š° Bei: TSh Milioni 50 (FIXED)
Sifa za nyumba:
ā
Vyumba 2 (kimoja ni Master Bedroom)
ā
Sebule kubwa
ā
Dining
ā
Jiko la kisasa
ā
Choo cha wageni (Public Toilet)
ā
Water Reserve Tank
ā
Maji ya DAWASCO yanapatikana
ā
Dakika 2 tu kutoka barabara kuu
ā
Inafikika kwa urahisi wakati wote
Nyumba hii ni chaguo bora kwa makazi ya familia, lakini pia ni fursa nzuri kwa wawekezaji wanaotaka kununua na kupangisha.
Kwa TSh Milioni 50 pekee, unapata nyumba mpya kwa bei nafuu sana. Usikose nafasi hii ya kuwekeza kwenye mali yenye thamani.
š Muhitaji piga: +255 688 412 890
š¼ Service Charge: TSh 30,000/=
Miliki Kesho Yako Leo!!!









