Search

2 Bedrooms House for Sale in Kifuru, Dar Es Salaam

Sh. 50,000,000

Description

šŸ” NYUMBA MPYA INAUZWA – KIFURU šŸ”

Je, unatafuta nyumba mpya ya familia katika eneo zuri na lenye miundombinu bora? Hii ni fursa yako!

šŸ“ Eneo: Kifuru
šŸ’° Bei: TSh Milioni 50 (FIXED)

Sifa za nyumba:
āœ… Vyumba 2 (kimoja ni Master Bedroom)
āœ… Sebule kubwa
āœ… Dining
āœ… Jiko la kisasa
āœ… Choo cha wageni (Public Toilet)
āœ… Water Reserve Tank
āœ… Maji ya DAWASCO yanapatikana
āœ… Dakika 2 tu kutoka barabara kuu
āœ… Inafikika kwa urahisi wakati wote

Nyumba hii ni chaguo bora kwa makazi ya familia, lakini pia ni fursa nzuri kwa wawekezaji wanaotaka kununua na kupangisha.

Kwa TSh Milioni 50 pekee, unapata nyumba mpya kwa bei nafuu sana. Usikose nafasi hii ya kuwekeza kwenye mali yenye thamani.

šŸ“ž Muhitaji piga: +255 688 412 890
šŸ’¼ Service Charge: TSh 30,000/=

Miliki Kesho Yako Leo!!!

Similar properties in Kinyerzi Kifuru, Dar Es Salaam