2 Bedrooms House for sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam
Amenities
Description
NYUMBA (22) ZA-BIASHARA,PLOT SQM.6,300,TZS.1.2 BILIONI, TABATA-SEGEREA.
Hapa tunakupatia KITEGAUCHUMI KINACHOZALISHA.
Zote zina Wapangaji sasahivi.
Utaamua uwaondoe au uendelee nao.
Kila nyumba inajitegemea kwa kilakitu.
Vyumba 2 (Masta 1) Sebule,Jiko na Choo cha Familia.
Ndani ya Kiwanja kimoja, na Ndani ya Fensi.
KODI KILA NYUMBA NI TZS.400,000/MWEZI.
HIVYO ZINAINGIZA TZS.8,800,000 (MILIONI NANE)
Kila mwezi.
WAHI UJITWALIE.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mpg















