2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 300,000

Type

House

Bedrooms

2

Description

🇹🇿 #APARTMENT INAPANGISHWA

📍 Kimara Korogwe
🕝 Umbali wa 1km kutoka Mwendokasi, usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu au kwa mguu dakika 15

🏡SIFA ZA NYUMBA

🔹 Vyumba viwili vya kulala
🔹 Sebule kubwa
🔹 Jiko nzuri sana
🔹 Choo cha public toile ndani
🔹 Umeme & Maji (inajitegemea)
🔹 Fence & Parking kubwa ya magari
👉 Hii nyumba ipo tayari kwa mpangaji naifaulisha

🔸 Kodi: Tsh 300,000/= × 6 (Miezi 6)

Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba

Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347