2 Bedrooms House/Apartment for sale in Kisota Ushuwani, Kigamboni, Dar Es Salaam

Type
House
Bedrooms
2
Plot Size
300 SQM
Nearest Road
200m
Amenities
Description
๐ข BOMA LA KISASA LENYE APARTMENTI LINAUZWA โ KIGAMBONI, KISOTA USHUWANI
Fursa adhimu kwa wawekezaji! Pata jengo la kisasa lenye mapato ya uhakika katika eneo linalokua kwa kasi la Kigamboni.
Sifa za Mali:
โ
Apartmenti 4โจโ
Kila apartment ina:
โ Vyumba 2 vya kulala
โ Sebule
โ Jiko
โ
Ukubwa wa kiwanja: Zaidi ya SQM 300โจโ
Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Wizara
Mahali:
๐ Kisota Ushuwani, Kigamboniโจ๐ Mita 200 kutoka barabara kuu ya lamiโจ๐ Kilomita 5 kutoka Feriโจ๐ Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere
Bei:
๐ฐ TSh Milioni 200 (Mazungumzo kidogo yapo.)
Fursa ya Uwekezaji:
๐ Apartmenti za vyumba viwili katika eneo hili hupangishwa kwa TSh 600,000 โ 800,000 kwa mwezi kwa kila apartment.
๐ Endapo utaziwekea samani (Fully Furnished), kila apartment inaweza kuingiza hadi TSh 1,500,000 kwa mwezi, hivyo kukupa mapato makubwa na faida ya muda mrefu.
โจ Huu ni uwekezaji wenye tija kwa yeyote anayehitaji kipato cha uhakika kupitia nyumba za kupangisha.
๐ Wasiliana nasi: 0769 554221
๐ฏVisit Site 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















