3 Bedrooms Apartment for Sale in Upanga, Dar Es Salaam

Type
Apartment
Bedrooms
3
Bathrooms
2
Installment
Available
Description
šļø APARTMENT YA KIFAHARI INAUZWA ā UPANGA, DAR ES SALAAM
Miliki apartment ya kisasa katikati ya jiji kwenye moja ya maeneo yenye hadhi na usalama wa hali ya juu.
⨠Muundo wa Apartment
ā
Vyumba 3 vya kulala (1 Master Bedroom)
ā
Sebule kubwa yenye balcony
ā
Dining
ā
Jiko la kisasa
ā
Store
ā
Choo cha wageni
ā
Vyumba vyote vina balcony
Apartment hii imejengwa kwa viwango vya kisasa, ikiwa na finishing bora na nafasi kubwa kwa familia.
š Location: Upanga ā City Centre
Ni chaguo bora kwa wanaofanya kazi Posta, CBD, Kariakoo na maeneo mengine ya katikati ya jiji. Ufikaji ni rahisi, hakuna usumbufu wa safari ndefu, na eneo ni tulivu, salama na la kifahari.
š° Bei: USD 265,000
š³ Mpango Rahisi wa Malipo
Lipa USD 135,000 kama down payment, kisha malizia salio kwa installments ndani ya miaka 2ā3, huku ukiwa tayari umehamia na kuanza kuishi kwenye apartment yako.
š¼ Fursa ya Uwekezaji
Apartment kama hii katika eneo la Upanga inaweza kupangishwa kuanzia TSh 7,000,000 kwa mwezi, huku mahitaji ya wapangaji yakiwa makubwa mwaka mzima.
š Amenities
āļø Standby Generator
āļø Maji ya uhakika 24/7
āļø CCTV Security
āļø Gym
āļø Parking ya kutosha
āļø Ulinzi wa kampuni masaa 24
Hii ni nyumba bora kwa makazi ya kifamilia au uwekezaji wenye faida ya muda mrefu.
š Muhitaji piga: +255 688 412 890
Service Charge / Gharama ya Huduma: TSh 30,000/=
Dalali Wako Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















