3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 500,000

Type

House

Bedrooms

3

Description

🇹🇿 VYUMBA KUBWA YA KISASA INAYOJITEGEMEA INAPANGISHWA – KIMARA, KOROGWE

📍 Kimara, Korogwe
⏰ Kutoka Stand ya Mwendo Kasi ni dakika 10–12 kwa miguu. Bodaboda 1000 tu hadi getini

---

#SIFA_ZA_NYUMBA

🔹 Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master Bedroom)
🔹 Sebule
🔹 Jiko la kisasa
🔹 Public Toilet ya ndani
🔹 Umeme & Maji (inajitegemea)
🔹 Fenced & Parking kubwa
🔹 Parving Block zinawekwa, finishing safi kabisa.
👉 Nyumba ni mpya kabisa, finishing za mwisho zinaendelea.

Gharama.

🔸 Kodi: Tsh 500,000 × 6 (miezi sita)

Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20000 kwenda Kuona Nyumba

Mawasiliano 0656623510
WSP 0752436347