3 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 600,000

Type

House

Bedrooms

3

Description

NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE KIMARA KOROGWE KM1.5 KUTOKA LAMI
-----
Vyumba 3 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Jiko kubwa la kisasa lina makabati
Public toilet
Maji yana flow
Liku yako
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
-----
Service charge 15,000/=
Kodi 600,000/=×6
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 6
-----
Contact
#0686_218580 (WhatsApp)
#0693_573010
#dalali_big__kimara🇹🇿

#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏