3 Bedrooms House for Rent at Wazo, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 1,500,000

Type

House

Bedrooms

3

Description

🏠 INAPANGISHWA STAND ALONE –TEGETA WAZO CONTENA DAR ES SALAAM

πŸ’° Kodi: Tsh MIL 1,500,000/= kwa mwezi

🎀MALIPO YA MIEZI 12

✨ Sifa za nyumba:
β€’ Vyumba 3 vikubwa vya kulala (Master mbili)
β€’ Sebule kubwa na Jiko lenye makabati
β€’ Bafu la ndani na la public
β€’ Gypsum, Tiles, na Windows za Slides
β€’ Umeme wa Luku binafsi
β€’ Maji ya bomba saa 24
β€’ Parking space ipo
β€’ Nje imepangwa kwa Paving blocks
β€’ Nyumba imezungushiwa uzio (Fenced)

DALALI KIMARA SUKA LEONARD
0719-092747
0683-387747