3 Bedrooms House for Rent in Mikocheni B, Dar Es Salaam
Amenities
Description
#VYUMBA_VITATU_VYA_KULALA#
INAPANGISHWA #STAND_ALONE
IKO-DAR-ES-SALAAM Tz
MAHALI- MIKOCHENI B(Nyumba lami)
TUNA POKEA WATU WA OFFICE TU
———————————————————
KODI TSHS ML 3.000,000/=KWA MWEZI
________________
MALIPO YA MIEZI 6
————-
IKO PEKEE YAKE KWENYE FENSI
Pamoja na servantkota
Ina Sebule mbili
_________________
KUBWA YA KIFAMILIA
______
YENYE:-
Vyumba VITATU kulala, 1Master Ac makabati Sebule Jiko, dinning Choo/Bafu vya ndani public
Gypsum Tiles Slides Windows
Umeme upo wa Luku yake
Maji yapo ya bomba 24hrs
Cars Parking Space ipo
Pervingblock
Fencedhouse
Garden
____________
Nione
@dalalimbezibeach_fally_ipupa
______
Pia viwanja vinapatikana vya KUNUNUA
🙏















