3 Bedrooms House for Rent in Shabaha, Kilimanjaro

Amenities
Description
📍Habari za leo ndugu mteja wa Nyumba moshi , Nyumba hii ipo kata ya shabaha Moshi , Ina bedrooms 3 moja master sebule jiko dining , Nyumba ni nzuri na ipo na Hali nzuri kama unavyoona , ipo ndani ya uzio wa fense ya ukuta ,
📍nyumba ipo karibia na Barabara ya usafiri wa bajaj za kuja mjini /mbuyuni nauli ni 1,500 tuu hadi mjini /mbuyuni .
📍KARIBU ujipatie Nyumba nzuri na ya kisasa iliyo na Hali nzuri na ubora mzuri
📍Kodi ni 200,000x4 au 6 , kuona Nyumba ni 10,000 MALIPO ya Dalali MWEZI mmoja .
📞📞0672701329📞📞
#nyumbazakupanga
#dalalimoshi_nyumba
#100millionsviews
#goviral
#foryoupage















