3 Bedrooms House for Rent in Ubungo, Dar Es Salaam

Description
NYUMBA MOJA MZUR SANAA STAND ALONE
@
Inapangishwa
@
Bei 500.000 kwa mwez
@
Mahali ubungo
@
Malipo miez 6 Na dalali 7
@
Ni nyumba ya vyumba 3 sebule jiko diningi
@
Vyumba vyote ni master
@
Umeme na maji mita yako
@
Karibu Sanaa ofisni kwetu sinza LEGO
@
Gatama ya kupelekwa Ni sh 30000
@
Kwa mawasiliano ya Sm 0756999550
@
Namba ya wasp 0659848687














