Search

3 Bedrooms House for Sale in Bonyokwa, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 65,000,000

Description

šŸ” NYUMBA INAUZWA – BONYOKWA, DAR ES SALAAM šŸ”

Unatafuta nyumba nzuri ya kuishi au kufanya uwekezaji wenye faida? Hii ndiyo fursa yako!

šŸ“ Location: Bonyokwa, upande wa Katani kutoka standi.
šŸ›£ļø Barabara ya lami inafika hadi kwenye nyumba, hivyo usafiri ni rahisi wakati wote.

✨ Sifa za Nyumba:
āœ… Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master)
āœ… Sebule kubwa
āœ… Jiko la nje
āœ… Public toilet
āœ… Umeme na maji vinapatikana
āœ… Ipo ndani ya fence
āœ… Parking kubwa na salama
āœ… Eneo tulivu lenye mazingira mazuri

🌳 Faida ya Ziada:
Nyuma ya nyumba kuna nafasi kubwa ambayo unaweza:

* Kutengeneza garden nzuri ya kupumzikia, au
* Kujenga vyumba vya kupangisha (master za biashara) na kupata kipato cha kila mwezi.

šŸ’¼ Fursa kwa Wawekezaji
Eneo la Bonyokwa lina mahitaji makubwa ya nyumba za kupangisha. Unaweza kununua nyumba hii, ukaipangisha, na pia ukajenga vyumba vingine nyuma ili kuongeza mapato yako.

šŸ’° Bei: Tsh Milioni 65

šŸ’µ Service Charge: 30,000/=

šŸ“ž Muhitaji piga au WhatsApp:

Wahi sasa kabla haijachukuliwa!

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings

Similar properties in Bonyokwa, Dar Es Salaam

Dalali Tabata