3 Bedrooms House for Sale in Buza, Dar Es Salaam (700 sqm)


Buza, Dar Es Salaam
4 hours ago
Sh. 190,000,000
Amenities
Description
Nyumba hizo za kisasa zinauzwa
zipo Buza kila nyumba inavyumba
vi3 vya kulala
siting room na daining room na kila
nyumba moja kodi
kwa mwezi ni sh.400,000.apo ilipo ina full
wapangaji ukubwa wa eneo lote ni sqm 700 mwenyewe
anauza bei ya kutupa kabisa yani sawa na bure ml.190Tsh
maongezi yapo kidogo Document aliekuwa nayo
ni Leseni ya Makazi kwa yule Tajiri muwekezaji njoo
uokote hizi nyumba uendelee kula kodi kazi nzuri sana
hii na imenyooka sana karibu sana ndugu mteja
NIPIGIE O688858854 AU PGA O623053771





