3 Bedrooms House for sale in Chamazi Mzambalauni, Dar Es Salaam

Description
π‘ NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA β TSH MILIONI 70 TU! π‘
Unatafuta nyumba bora yenye mazingira mazuri? Hii ndiyo nafasi yako!
π Eneo: Chamazi Mzambalauni
Sifa za nyumba:
β
Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
β
Sitting Room
β
Dining Room
β
Jiko la kisasa
β
Store
β
Maji yanapatikana
β
Eneo kubwa lenye nafasi ya kutosha
β
Ipo kwenye mtaa mzuri na salama
π° Bei: Milioni 70 (Mazungumzo yapo β njoo site ukutane na mwenye nyumba.)
π₯ Huu ni mpira wa kufa! Wahi mapema kabla haijachukuliwa na mwingine.
π Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda site, piga simu: 0683 665504















