Search

3 Bedrooms House for sale in Chamazi Mzambalauni, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 70,000,000

Description

🏑 NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA – TSH MILIONI 70 TU! 🏑

Unatafuta nyumba bora yenye mazingira mazuri? Hii ndiyo nafasi yako!

πŸ“ Eneo: Chamazi Mzambalauni

Sifa za nyumba:
βœ… Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
βœ… Sitting Room
βœ… Dining Room
βœ… Jiko la kisasa
βœ… Store
βœ… Maji yanapatikana
βœ… Eneo kubwa lenye nafasi ya kutosha
βœ… Ipo kwenye mtaa mzuri na salama

πŸ’° Bei: Milioni 70 (Mazungumzo yapo – njoo site ukutane na mwenye nyumba.)

πŸ”₯ Huu ni mpira wa kufa! Wahi mapema kabla haijachukuliwa na mwingine.

πŸ“ž Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda site, piga simu: 0683 665504