3 Bedrooms House for Sale in Goba Center, Dar Es Salaam (400 sqm)
Goba, Dar Es Salaam
1 hour ago
Sh. 95,000,000
Amenities
Description
Karibu sana ndugu mteja🙏🏾
✨Nyumba mbili zinauzwa Ina vyumba vitatu, sebule na jiko na chumba sebule jiko
✨Ina maji ya DAWASA na umeme
✨Ukubwa wa kiwanja: Mita 20 kwa 20
✨Location: Goba center
✨Bei : Million 95 (maongezi yapo kidogo)
✨Umiliki: Mmoja
✨Documents: Upimaji
🙏🏽karibu sana boss wangu fanya kazi na madalali tuonaotambulika kisheria hepuka matapeli , ofisi zetu zinapatikana nyuma ya Skycity mall
🙏🏽karibu kwa mawasiliano zaidi tupigie:#📲















