3 Bedrooms House for Sale in Goba, Dar Es Salaam (600 sqm)
Type
House
Bedrooms
3
Bathrooms
4
Plot Size
600 SQM
Nearest Road
1km
Description
π‘ NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA β GOBA, DAR ES SALAAM π‘
Usikose fursa ya kumiliki nyumba nzuri, ya kisasa na yenye nyaraka halali katika eneo la Goba.
β¨ Sifa za Nyumba:
ποΈ Vyumba 3 vya kulala, vyote Master Bedroom
ποΈ Sebule kubwa na yenye mwonekano wa kisasa
π½οΈ Sehemu maalum ya kulia chakula (Dining)
π¨βπ³ Jiko la kisasa lenye makabati ya kuhifadhia vifaa
π» Choo cha wageni (Public Toilet)
βοΈ Air Condition (A/C)
π‘ Fensi ya kuzunguka nyumba kwa usalama
π£οΈ Eneo la ndani limewekewa Paving Blocks
π³ Bustani nzuri yenye mazingira ya kuvutia
π Mahali: Goba, Dar es Salaam
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 600
π£οΈ Umbali wa takribani Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
π Hati halali kutoka Wizarani
π° Bei: TSh Milioni 440 (mazungumzo yapo kidogo)
π² Piga simu au WhatsApp: 0765 989 724
Fanya uamuzi leo! Nyumba bora huuzwa haraka. Karibu kuja kuiona na ujiridhishe mwenyewe.















