3 Bedrooms House for sale in Kibada, Dar Es Salaam

Amenities
Description
๐ก NYUMBA INAUZWA โ KIGAMBONI, KIBADA
Fursa nzuri ya kumiliki nyumba ya kisasa katika eneo tulivu na linalokua kwa kasi. Nyumba ipo tayari kuhamia na inafaa kwa makazi ya familia.
๐ Mahali: Kigamboni โ Kibada
Sifa za Nyumba:
โ
Vyumba 3, vyote Master
โ
Sebule kubwa
โ
Jiko
โ
Umeme tayari
โ
Maji yanapatikana
โ
Shapu imekamilika (Board juu, chini na cement)
๐ Ukubwa wa Eneo: SQM 300
๐ Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa
๐ Umbali: Karibu na Baba Alami
๐ฐ Bei: TZS Milioni 60 (Mazungumzo yapo)
๐ Wasiliana Nasi: 0769 554 221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingnow















