3 Bedrooms House for Sale in Kibada Mwela, Dar Es Salaam (600 sqm)

Description
🏡 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI KIBADA MWELA
Fursa nzuri ya kupata nyumba tayari kwa kuhamia au kwa uwekezaji!
✨ Sifa za Nyumba:
• Vyumba 3 vya kulala
• Chumba 1 Master
• Sebule kubwa
• Dining
• Jiko
📐 Ukubwa wa Eneo: Square Meter 600
📄 Nyaraka: Hati ya Serikali ya Mtaa
💰 Bei: TSh Milioni 120 (Mazungumzo kidogo yapo.)
📍 Mahali:
• Kilomita 3 kutoka Kibada Stand
• Kilomita 12 kutoka Ferry
• Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
✅ Nyumba ipo katika mazingira mazuri na imetunzwa vizuri.
✅ Haina hitaji la marekebisho yoyote – ni ya kuhamia moja kwa moja.
✅ Inafaa kwa makazi binafsi au kama uwekezaji wa kupangisha kutokana na eneo lake lenye ukuaji mzuri.
📍Service Charge 30,000
📞0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















