3 Bedrooms House for Sale in Kibaha Kwa Mathias, Pwani (500 sqm)

Amenities
Description
NYUMBA NZURI SANA YEMYE FANCE INAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS TSH MILIONI 38 TU
==========
π»Ina vyumba vitatu vya kulala, Chumba kimoja ni master
π»Sebule
π»Jiko
π Kwa pembeni Kuna nyumba nyingine ya vyumba viwili vyote master
==========
βοΈ Nyumba ipo ndani ya fence
βοΈ Ipo kwenye barabara ya mtaa
==========
βοΈ Kiwanja chake kina ukubwa wa sqm 500
_____________________
π° BEI MILIONI 38 tu
Maongezi yanafanyika site
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















