3 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Mgongo, Dar Es Salaam (700 sqm)
Description
๐ก NYUMBA NZURI INAUZWA KIGAMBONI MGONGO, DAR ES SALAAM ๐ก O719969102
Unatafuta nyumba ya kisasa katika eneo la hadhi na utulivu? Hii ndiyo fursa yako!
โ
Bei: TZS 135,000,000 (Mazungumzo yapo)
Sifa za nyumba:
๐ Vyumba 3 vya kulala
๐๏ธ Sebule kubwa na yenye nafasi ya kutosha
๐ฝ๏ธ Dining
๐จโ๐ณ Jiko la kisasa
โจ Gypsum tayari
๐ช Madirisha ya aluminium
๐๏ธ Imejengwa kwa kiwango cha juu cha ubora
๐ก Paa la kisasa la mteremko (Kitonga)
๐ง Imebaki kujenga fence tu
Ukubwa wa eneo:
๐ SQM 700
๐ Kiwanja kimepimwa (Surveyed & Approved Plot) na kina nyaraka zinazokuwezesha kupata umiliki kwa utaratibu husika.
๐ Eneo la Kigamboni Mgongo ni la uswahilini wa kisasa, tulivu na linaendelea kwa kasi, likifaa kwa makazi ya familia na uwekezaji.
Usikose nafasi ya kumiliki nyumba bora yenye eneo kubwa kwa bei nzuri.
๐ Wasiliana nasi: O719969102















