3 Bedrooms House for sale in Kikuyu Extension, Dodoma

Amenities
Description
🏡 NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA – KIKUYU EXTENSION, DODOMA
💰 BEI: TSH MILIONI 35 TU
📜 DOKUMENTI: HATI HALISI (TITLE DEED)
📍 Nyumba ipo Kikuyu Extension, karibu sana na eneo la SGR, moja ya mitaa inayokua kwa kasi na inayopendwa kwa makazi ndani ya Jiji la Dodoma.
✅ Umbali kutoka nyumba ilipo hadi SGR ni takribani KM 1 tu
✅ Umbali kutoka nyumba ilipo hadi Nyerere Square ni takribani KM 5 tu
🏠 MUUNDO WA NYUMBA
✔️ Vyumba 3 vya kulala
✔️ Chumba 1 Master Bedroom
✔️ Sebule kubwa
✔️ Jiko
✔️ Public Toilet
🏗️ Hatua ya Ujenzi
Nyumba imejengwa kwa msingi mkubwa na imara, na imefikia hatua ya kufunga renta. Baada ya hatua hiyo hubaki kupandisha kozi za juu na kisha kufikia roof level. Ujenzi umefanyika kwa ubora mzuri na umebaki hatua chache za kuikamilisha kulingana na mahitaji ya mnunuzi.
📐 Eneo la kiwanja bado ni kubwa na lina nafasi ya maendeleo zaidi. Mnunuzi anaweza kuongeza ujenzi mwingine kulingana na mahitaji yake.
💡 Fursa za Uwekezaji
✅ Malizia nyumba na uitumie kama makazi ya familia.
✅ Malizia na uipangishe kama Stand Alone House.
✅ Fanya finishing ya kisasa (Full Furnished) na uipangishe kwa kati ya TSH 1,000,000 hadi 1,500,000 kwa mwezi.
✅ Itumie kama ofisi na uipangishe kwa taasisi au kampuni.
✅ Tumia eneo lililobaki kujenga vyumba vya kupangisha au Master Self za kisasa.
🌟 Sifa za Eneo
✔️ Mtaa umejengeka vizuri na umepangiliwa.
✔️ Hakuna uswahili.
✔️ Maji yapo.
✔️ Umeme upo.
✔️ Majirani wapo.
✔️ Karibu na huduma muhimu za mjini.
✔️ Nyumba ipo sehemu nzuri yenye ufikivu rahisi.
🔥 Biashara imenyooka, hati ipo tayari na mauzo ni ya haraka.
📞 Wahi kuwasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi na kutembelea eneo.










