Search

3 Bedrooms House for Sale in Kimara Suka, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
media -7
media -8
Sh. 115,000,000

Amenities

Stand Alone Property
Security Wall
Water Supply
Electricity
Kitchen
Hati Safiya Mauziano Kutoka Serikali Y Mtaa

Description

NYUMBA KUBWA YA KISASA YA FAMILIA INAYOJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENSI INAUZWA MILIONI 115 MAONGEZI YAPO

πŸ’₯ NYUMBA HII IPO KIMARA SUKA UPANDE WA KUSHOTO KAMA UNAENDA MBEZI NA KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI KM 2.5 HADI KWENYE NYUMBA

NYUMBA HII INA SIFA ZIFUATAZO

#VYUMBA 3 VIKUBWA SANA VYA KULALA KIMOJAWAPO NI MASTER
#SEBULE KUBWA
#DINING
#JIKO KUBWA LA KISASA
#STORE
PARKING
MAJI DAWASA YANATOKA NDANI MASAA 24

BEI NI 115 MILIONI

DOCUMENT NI HATI SAFI YA MAUZIANO KUTOKA SERIKALI YA MTAA

KUPELEKWA SITE KUONA NYUMBA NI SHILINGI ELFU 30.

dalali doto  ubungo Kimara mbezi

dalali_doto_kimala_mbez

@dalali_doto_kimala_mbez

View Listings

Similar properties in Kimara, Dar Es Salaam

dalali doto  ubungo Kimara mbezi