Search

3 Bedrooms House for Sale in Kinyerezi Songas, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 80,000,000

Description

šŸ” NYUMBA INAUZWA – KINYEREZI SONGAS, DAR ES SALAAM

Unatafuta nyumba nzuri ya kuishi au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!

šŸ“ Ipo Kinyerezi Songas, nyumba ya pili kutoka barabara ya lami, eneo zuri na linalofikika kwa urahisi.

Sifa za nyumba:
āœ… Vyumba 3 vya kulala (ikiwemo Master Bedroom)
āœ… Sebule kubwa
āœ… Dining
āœ… Jiko
āœ… Store
āœ… Choo cha wageni
āœ… Eneo la ukubwa SQM 400
āœ… Maji ya DAWASCO
āœ… Water reserve tank
āœ… Parking ya kutosha

šŸ  Inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji. Unaweza kuinunua, kuikarabati kidogo na kuipangisha kama standalone house ili ikuingizie kipato kila mwezi.

šŸ’° Bei: TSh Milioni 80 tu
šŸ“„ Nyaraka: Sales Agreement

šŸ“ž Wasiliana:
šŸ’µ Service Charge: TSh 30,000/=

Usikose fursa hii! Miliki Kesho Yako Leo!!!

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings

Similar properties in Kinyerezi, Dar Es Salaam

Dalali Tabata